10:54 AM
0

Al Shabaab lawaua maafisa 15 wa usalama

Mshirikishe mwenzako
Al Shabaab
Wanamgambo wamewaua karibu walinda usalama 15 nchini Somalia baada ya kufanya shambulizi katika mji ulio karibu na mji mkuu Mogadishu.

0 comments:

Post a Comment