1:21 PM
0

Carlos Tevez amerejea Boca Juniors

Mshirikishe mwenzako
Carlos Tevez amerejea Boca Juniors
Mshambulizi wa Argentina na washindi wapili katika kombe la mabingwa mwaka huu Juventus Carlos Tevez amerejea katika klabu yake ya zamani ya Boca Juniors.
null
Tevez aliisaidia Argentina kuilaza Colombia katika robo fainali ya Copa America
null
Tevez, alishinda mataji mawili ya ligi nchini Uingereza na mawili nchini Italia.

0 comments:

Post a Comment