9:42 PM
0

Wanawake wakatazwa kushabikia mechi Iran

Mshirikishe mwenzako
Wahifidhana wapinga wanawake kushabikia mechi ya mpira wa wavu dhidi ya Marekani
Wanaharakati nchini Iran wamekasirishwa na hatua ya kuwazuia wanawake nchini humo kushabikia mechi ya mpira wa wavu ya wanawake dhidi ya Marekani licha ya hakikisho kuwa wangeruhusiwa.

0 comments:

Post a Comment