Kuvuta sigara China ni Marufuku
01 june 2015,,mtumishijasiri
Serikali ya China,imepiga marufuku
kuvuta sigara katika maeneo yote ya wazi katika mji wa Beijing.
Maelfu
ya maafisa wameanza kufanya ukaguzi katika maeneo yote ya wazi na
watakaokiuka kufuata sheria hiyo watapigwa faini.
Hata hivyo China ina wavuta sigara milioni mia tatu wakati sheria ya kusitisha wavutaji sigara katika maeneo ya wazi ya mji wa Beijing ilipopitishwa kwa mara ya kwanza na kushindwa kutekelezeka.Ripoti inasema kuwa watu wengi wanadhani sheria hiyo ya kukataza kabisa uvutaji sigara haitafanya kazi
mtumishijasiri.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.