2:28 PM
0

Mapigano makali yaendelea Mogadishu

Mshirikishe mwenzako
Mapigano makali yaendelea Mogadishu
Mapigano makubwa yameripotiwa kwenye mji kuu wa Somalia Mogadishu baada ya shambulizi la gari la kujitoa mhanga kutokea karibu na makao makuu ya idara ya ujasusi ya nchi hiyo.

0 comments:

Post a Comment