9:02 AM
0

Mtu mmoja amechinjwa Ufaransa

Mshirikishe mwenzako
Mtu mmoja amechinjwa Ufaransa
Mtu mmoja amechinjwa na mwengine akajeruhiwa vibaya baada ya shambulizi la kiislamu katika mji wa Lyon Ufaransa.
null
Mwanaume mmoja amekamatwa na maafisa wa usalama kufuatia tukio hilo.
null
Inaaminika kuwa waliotekeleza shambulizi hao walikuwa na bendera iliyoandikwa katika kiarabu
null
Hili ni shambulizi la kwanza tangu watu 17 wauawe miezi sita iliyopita

0 comments:

Post a Comment