8:10 AM
0

Karenzi Kareke kufikishwa mahakamani leo

Mshirikishe mwenzako

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo kuhusu madai ya uhalifu wa kivita yanayomkabili.

null
Waandamanaji wanaopinga kukamatwa kwa KK wako nje ya ubalozi wa Uingereza Kigali

Rwanda imeonyesha masikitiko yake na kukamatwa kwake.


null
Waandamanaji wanaopinga kukamatwa kwa KK wako nje ya ubalozi wa Uingereza Kigali


null
Waandamanaji wamepinga kuzuiliwa kwake


null
Luteni jenerali Karenzi Karake alizuiliwa katika uwanja wa ndege wa Heathrow jumamosi


null
Karenzi Kareke kufikishwa mahakamani leo

0 comments:

Post a Comment