8:08 AM
0

Makamu wa rais Burundi atoroka

Mshirikishe mwenzako
Makamu wa rais Burundi anaaminika kuwa ametorokea Ubeljiji
Moja kati ya makamu wa rais wa Burundi ametoroka nchini humo baada ya kutangaza kuwa anapinga hatua ya rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
null
Rais Nkurunziza alitibua mzozo baada ya kutangaza kuwania muhula wa tatu
null
Umoja wa mataifa unaendelea na jaribio la kuwapatanisha mahasimu Burundi
null
Uchaguzi nchini humo umeratibiwa kufanyika Julai tarehe 15
null
Zaidi ya watu laki moja wametoroka nchini humo wakihofia fujo

0 comments:

Post a Comment

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.