Papa Francis: Sijatazama Tv kwa miaka 25
- 25 Mei 2015
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amesema kuwa hajawahi kutazama runinga kwa miaka 25 sasa.
Papa
Prancis ambaye amewatamausha wachanganuzi wa kanisa hilo kwa kususia
maisha ya kifahari katika makao makuu ya kanisa Vatican alisema
alitizama runinga mara ya mwisho tarehe 15 mwezi julai mwaka wa 1990.Alikoma kutizama runinga baada ya kumuahidi maria mtakatifu kuwa angekoma kushiriki uraibu huo.
Na akitaka kupata habari za Mtumishijasiri.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.