Hii ndio kauli nzito aliyoitoa mwana mfalme juu ya FIFA
Kwenye hotuba yake kabla ya fainali ya kombe la FA nchini Uingereza, William ambaye pia ni rais wa shirikisho la soka la FA nchini Uingereza,
ameilinganisha sakata ya FIFA na ile ya jiji la Salt Lake ilifyofanyika wakati Marekani ilikuwa inasaka tiketi ya kuandaa mashindano ya olimpiki ya barafu mnamo mwaka wa 2002 na kuilazimu kamati ya kimataifa ya Olimpiki kuimarika.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.