Ila kwa hili Nkuruzinza Salimu amri
31 may 2015..mtumishijasiri
Uamuzi wa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kuania muhula wa tatu wa uongozi katika uchaguzi wa mwezi ujao, umesababisha maandamano kwa majuma kadha sasa.
Kiongozi wa Burundi hajakuwako kwenye mkutano huo.
Mara ya mwisho alipohudhuria mkutano kama huo awali mwezi May, maafisa wa jeshi walijaribu kumpindua.
mtumishijasiri.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.